Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mauaji ya mtetezi wa Haki za Binadamu Burundi yalaaniwa na UM

Mauaji ya mtetezi wa Haki za Binadamu Burundi yalaaniwa na UM

Akich Okola, Mtaalamu Maalumu aliyeteuliwa na Baraza la UM juu ya Haki za Binadamu kuchunguza utekelezaji wa haki za kiutu katika Burundi, ameripoti kuchukizwa sana na taarifa za mauaji ya Ernest Manirumva, Naibu-Raisi mzalendo wa shirika lisio la kiserikali linaloitwa OLUCOME, mauaji yaliotukia mjini Bujumbura, nyumbani mwa Manirumva, mnamo usiku wa tarehe 08 Aprili.