Matishio yanayokithiri ya uhalifu wa mipangilio yanazingatiwa na Kamisheni ya UM
Kamisheni ya UM Inayohusika na Mahakama za Kesi za Jinai na Udhibiti wa Uhalifu Alkhamisi imefungua rasmi mjini Vienna, kikao cha 18 cha wawakilishi wa kimataifa kujadilia taratibu za pamoja, kukabiliana na tishio la uhalifu wa mipangilio dhidi ya utulivu na amani duniani.