Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

KM ahimiza vijana wahusishwe kudhibiti athari za hali ya hewa katika Siku ya Kimataifa kwa Vijana

KM ahimiza vijana wahusishwe kudhibiti athari za hali ya hewa katika Siku ya Kimataifa kwa Vijana

UM unaadhimisha tarehe 12 Agosti kuwa ni \'Siku ya Kimataifa kwa Vijana\'. Risala ya KM kuiheshimu siku hiyo imetilia mkazo zaidi umuhimu wa kuwahusisha vijana kwenye juhudi za kupiga vita na kudhibiti bora athari za mabadiliko ya hali ya hewa duniani, madhara ambayo vile vile huzusha matatizo ya njaa.