Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

03 Desemba 2021

03 Desemba 2021

Pakua

Karibu kusikiliza jarida hii leo tukikuletea mada kwa kina kutokea nchini Tanzania kuhusu mapokeo ya uamuzi wa serikali kuwarejesha shuleni watoto waliokatiza masomo kwa sababu mbalimbali ikiwemo  ujauzito.

Pia utasikia habari kwa ufupi zikiangazia siku ya Kimataifa ya watu wenye ulemavu ambayo ni leo na ujumbe wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa siku hii pamoja na habari kutoka Afghanistan na Ethiopia. 

Audio Credit
Flora Nducha
Sauti
12'25"