14 Mei 2020
Pakua
Mwakilishi wa WHO Burundi afurushwa, ofisi ya WHO kanda ya Afrika yazungumza. Huko Sudan Kusini UNMISS yaingia sokoni, kulikoni? Katibu Mkuu wa UN azindua sera ya kusaida afya ya akili wakati huu wa janga la Corona au COVID-19, na mashinani tunakwenda Ituri nchini DRC, kilio cha mama mkimbizi wa ndani na makala ni nchini Kenya. Karibu!
Audio Credit
Flora nducha
Audio Duration
12'36"