Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

14 Mei 2020

14 Mei 2020

Pakua

Mwakilishi wa WHO Burundi afurushwa, ofisi ya WHO kanda ya Afrika yazungumza. Huko Sudan Kusini UNMISS yaingia sokoni, kulikoni? Katibu Mkuu wa UN azindua sera ya kusaida afya ya akili wakati huu wa janga la Corona au COVID-19, na mashinani tunakwenda Ituri nchini DRC, kilio cha mama mkimbizi wa ndani na makala ni nchini Kenya. Karibu!

Audio Credit
Flora nducha
Audio Duration
12'36"