Mzazi ni mdau muhimu kuzuia mimba utotoni
Pakua
Mzazi ni mdau muhimu katika kuzuia mimba za utotoni nchini uganda na kuhakikisha watoto wanatimiza ndoto za maisha hayo. Mwandishi wetu wa Uganda John Kibego leo amejikita katika changamoto hiyo ya mimba za utotoni na nini wajibu wa mzazi kuahikisha tatizo hilo linapunguzwa au kukomeshwa kabisa. Ungana naye katika makala hii kwa udani zaidi.