Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Nuru kwa watu asilia Afrika imeanza kung’aa: Dk Laltaika

Nuru kwa watu asilia Afrika imeanza kung’aa: Dk Laltaika

Pakua

Miaka 10 ya tamko la Umoja wa Mataifa kuhusu hakiza jamii za watu wa asili zimeionyesha mafanikii makubwa ikiwamo nchi za Afrika kuridhia tamko hilio na hata kuanza kutumika katika ngazi ya mahakama, amesema Dk Elifuraha Laltaika, mtaalamu huru wa Jukwaa la kudumu la Umoja wa Mataifa kuhusu jamii hizo.

Katika mahojiano na Joseph Msami wa idhaa kandoni mwa mkutano wa 16 wa jamii asilia mjini New York Marekani, Dk Elifuraha amesema kuna changamoto kadhaa lakini mwanga unaonekana katika bara hilo.

Kwanza anaanza kwa kueleza mkutano huu wa 16 una maana gani?

Photo Credit
Dk Elifuraha Laltaika. Picha: UM/Idhaa ya Kiswahili