Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Uhaba wa malisho kwa wafugaji Uganda ni tafrani

Uhaba wa malisho kwa wafugaji Uganda ni tafrani

Pakua

Nchini Uganda uhaba wa malisho uliochochewa na ukame kwa wafugaji hasa wa ngo’mbe umezusha hamasa kwa wafugaji hao ambao wengi wanataka ruksa ya kulisha mifugo yao kwenye hifadhi ya taifa na serikali kwa upande wake ikisema la hasha haiwezekani. Sasa nini hatma ? ungana na John Kibego kwa makala hii.

Photo Credit
Ng'ombe wakiwa Kwenye Mto Waki nchini Uganda.(Picha:Idhaa ya Kiswahili/John Kibego)