Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Biashara ya utumwa yaacha alama Amerika Kusini

Biashara ya utumwa yaacha alama Amerika Kusini

Pakua

Tarehe 25 Machi kila mwaka kunaadhimishwa  siku ya kimataifa ya kumbukizi ya wahanga wa utumwa na biashara ya utumwa. Mwaka huu kumbukizi hizo zinaangazia jinsi wahanga wa biashara ya utumwa wanavyoendelea kuchangia na kuleta mabadiliko katika jamii duniani kote.  Katika makala hii Amina Hassan anaangazia jinsi biashara hiyo inavyoendelea kuvutia utamaduni katika jamii fulani Amerika ya Kusini.  Ungana naye

Photo Credit
Muziki wa Cuba wenye mvuto wa Afrika. Picha: UM/Video capture