Changamoto zinazowakabili watoto wa kike Uganda zaangaziwa
Pakua
Jumuiya ya kimataifa leo imeadhimisha siku ya mtoto wa kike, ambapo ustawi wa kundi hilo umetajwa kuwa muhimu wakati huu ambapo malengo ya maendeleo endelevu SDGs yakiwa dira ya dunia.
Nchini Uganda wasichana wa kike wanakabiliwa na changamoto kadhaa katika ustawi wao ili kuwa tegemezi kwa taifa. Ungana na John Kibego anayeangazia chnagamoto hizo katika makala ifuatayo.