Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Utunzaji wa mazingira Tanzania wainua kipato

Utunzaji wa mazingira Tanzania wainua kipato

Pakua

Usafi wa mazingira jijini Mwanza Tanzania sio tu kwamba umewezesha muoneakano bora wa jiji hilo,  bali pia umeinua kipato cha wanavikundi ambao wamelivalia  njuga suala la usafi katika maeneo mbalimbali ya jiji hilo.

Martin Nyoni wa redio washirika redio SAUT ya Mwanza amezunguka katika maeneo  kadhaa kujionea miradi ya bustani za umwagiliaji na mchango wake katika kutunza mazingira jijini humo.Ungana naye.

Photo Credit
Bustani ya miti na maua eneo la Butimba kona jijini Mwanza.(Picha:Idhaa ya kiswahili/Martin Nyoni)