Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNICEF yakomboa shule ziliizoteketezwa na kimbunga Madagascar

UNICEF yakomboa shule ziliizoteketezwa na kimbunga Madagascar

Pakua

MADAGASCAR! Kisiwa ndani ya bahari ya HINDI kilichoko Kusini Mashariki mwa Afrika chenye idadi ya watu  zaidi ya milioni 22.

Kisiwa hiki kimekuwa kikikumbwa na vimbunga mara kadhaa! Vimbunga hivi vimekuwa vikiathiri sekta  mbalimbali za kiuchumi na kijamii.

Leo katika makala tunamulika namna ambavyo vimbunga hivi vimeathiri sekta ya kilimo chini Madgascar na mchango wa umoja wa matiafa  katika kuzinusuru shule hizo.

Ungana na Joseph Msami katika makala hii ili ufahamu kulikoni vimbunga Madagascar?