Kipaji cha sarakasi chamwezesha mkimbizi kutoka DRC kupata elimu bora Uganda
Umoja wa Mataifa unapazia sauti suala la vijana kutumia vipaji vyao ili kuweza kufanikisha malengo ya maendeleo endelevu .SDGs.
Umoja wa Mataifa unapazia sauti suala la vijana kutumia vipaji vyao ili kuweza kufanikisha malengo ya maendeleo endelevu .SDGs.
Wataalamu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa akiwemo Alice Jill Edwards, anayeshughulikia masuala yanayohusu mateso, na Adhabu nyingine za Kikatili, za kinyume cha utu au za Kushusha hadhi, leo Januari 3 mjini Geneva-Uswisi wameelezea wasiwasi wao kuhusu kukaribia kutekelezwa kwa hukumu ya k
Harakati zikiendelea za kunasua watu waliokwama kwenye vifusi kufuatia tetemeko kubwa la ardhi lililokumba eneo la kati mwa Japan Jumatatu alasiri kwa saa za huko na kusababisha vifo vya watu 62, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameelezea masikitiko yake kufuatia tetemeko hilo lil
Hii leo kwenye jarida la Habari za Umoja wa Mataifa tunamulika tetemeko la ardhi nchini Japan; Matumizi ya gesi aina ya Naitrojeni Hypoxia kuua mfungwa; Makala ni jinsi sarakasi ilivyomwezesha kijana mkimbizi kupata unafuu wa malipo na mashinani tunakwenda Afar nchini Ethiopia.
Heir ya mwaka mpya 2024 na leo katika jarida letu la kwanza kabisa kwa mwaka huu tunakuletea Habari kwa Ufupi, Mada kwa Kina ikielelea Tanzania na Mashinani tunajikita Kenya. Mwenyeji wako ni Leah Mushi.