FAO kuhakikisha ufugaji samaki Zimbabwe una tija shambani hadi mezani
FAO kuhakikisha ufugaji samaki Zimbabwe una tija shambani hadi mezani
Ukuaji wa Kiuchumi
Shirika la chakula na kilimo la Umoja wa Mataifa, FAO linasema ingawa teknolojia ya ufugaji wa Samaki nchini Zimbabwe imekua bado lengo la kufanikisha uhakika wa chakula kwa kuhakikisha Samaki anafika mezani bado linakabiliwa na changamoto kwa kuwa gharama ya ufugaji ni ya juu halikadhalika gharama ya kitoweo hicho.