Baraza la Usalama la UN lalaani shambulio la kigaidi nchini Afghanistan
Wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wamelaani vikali shambulio la kigaidi dhidi ya Ubalozi wa Pakistan ulioko Kabul nchini Afghanistan, tarehe 2 Desemba 2022, ambapo Mkuu wa Mabalozi alishambuliwa na mlinzi wake kujeruhiwa vibaya.