Wakazi wa Hoima Uganda watoa maoni kuhusu huduma ya afya
Afya
Wakati viongozi wa dunia wamepitisha azimio la kisiasa la kuhakikisha huduma ya afya kwa wote inapatikana kwa kila mkazi wa dunia ifikapo mwaka 2030, nchini Uganda mwandishi wetu John Kibego amevinjari katika maeneo ya Hoima ili kuweza kupata maoni ya wananchi kuhusu huduma hiyo adhimu.