Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wakimbizi wa Syria waendelea kumiminika Lebanon

Wakimbizi wa Syria waendelea kumiminika Lebanon

Dunia hivi sasa inaelekeza macho yake nchini Syria nchi ambayo mzozo unaoendelea umesababisha madhila kwa raia wa nchi hiyo ikiwamo kuwa wakimbizi. Raia wa nchi hiyo wamejikuta wakimbizi katika nchi za jirani mathalani Iraq, Uturuki na kwingineko.

Lakini hali ni mbaya zaidi nchini Lebanon ambapo lundo la wakimbizi wako nchini humo. Ungana basi na Grace Kaneiya anayeangazia adha za wakimbizi wa Syria walioko nchini Lebanon.