Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Hali ya Wachad wanaokimbia machafuko Libya yanatia hofu:IOM

Hali ya Wachad wanaokimbia machafuko Libya yanatia hofu:IOM

Shirika la kimataifa la uhamaijai IOM linasema kuwa maelfu ya watu wanazidi kukimbia mzozo nchini Libya kila siku huku wasiwasi ukiibuka kuhusu hali ya raia wa Chad wanaowasili kwenye miji ya jangwani ya Faya na Kalait.

Jumbe Omari Jumbe msemaji wa shirika hilo la IOM anafanua zaidi alipozungumza na Alice Kariuki wa Idhaa hii

(MAHOJIANO NA JUMBE OMARI JUMBE)