Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Watoto 500,000 kupatiwa chanjo ya ugonjwa wa surua Cote d'Ivoire

Watoto 500,000 kupatiwa chanjo ya ugonjwa wa surua Cote d'Ivoire

Zaidi ya watoto 500,000 walio chini ya umri wa miaka 5 wanatazamiwa kupatiwa

chanzo ya ugonjwa wa surua katika jimbo la Sud-Comoe lililoko nchini Cote

d\'Ivoire, ambalo linavamiwa mara kwa mara na ugonjwa huo.