Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Watu milioni 2.7 kukabiliwa na upungufu wa chakua: WHO

Watu milioni 2.7 kukabiliwa na upungufu wa chakua: WHO

Shirika la Afya Duniani WHO, linasema takribani watu milioni 2.7 wako katika hatari ya kukabiliwa na upungufu mkubwa wa chakula nchini Niger.