Ripoti ya IFRC inasihi, huduma za misaada ya kihali Afrika zahitajia marekibisho ya hali ya juu
Ripoti mpya ya Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu (IFRC), iliochapishwa hii leo, imeonya kwamba misaada ya kiutu inayofadhiliwa bara la Afrika ni ya gharama kubwa, na mara nyingi inashindwa kukidhia mahitaji yanayoendelea kupanuka, kwa zile jamii dhaifu kihali, ziliopo katika sehemu mbalimbali za Afrika.