Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wafanyakazi wa UNAMA Afghanistan watahamishiwa makazi ya muda kupata usalama

Wafanyakazi wa UNAMA Afghanistan watahamishiwa makazi ya muda kupata usalama

Shirika la UM la Kuisaidia Afghanistan (UNAMA) limetangaza kuwa litawahamisha baadhi ya wafanyakazi wake na kuwapeleka kwenye makazi ya muda, ndani ya nchi au nje ya Afghanistan,