UM umeanzisha mradi mkuu wa kusambaza vifaa vya kusajili wapiga kura Sudan
Shirika la UM juu ya Ulinzi Amani Sudan Kusini (UNMIS) na Shirika la UM juu ya Miradi ya Maendeleo (UNDP) yameanzisha operesheni kuu, za kugawa vifaa vya uchaguzi vitakavyotumiwa kusajilia wapiga kura kuanzia Ijumatatu ya leo.