Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

IFAD inasema uhamishaji wa fedha wa wafanyakazi wa Afrika waliopo nje unaweza kustawisha maisha ya vijiji

IFAD inasema uhamishaji wa fedha wa wafanyakazi wa Afrika waliopo nje unaweza kustawisha maisha ya vijiji

Shirika la UM juu ya Mfuko wa Kimataifa kwa Maendeleo ya Kilimo (IFAD) limewasilisha ripoti mpya inayozingatia athari za kiuchumi zinazofungamana na uhamishaji wa malipo ya fedha, unaoendelezwa na wafanyakazi wa kutoka Afrika waliopo nchi za kigeni.