Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Maambukizi ya H1N1 kwenye kizio cha kusini cha dunia yameteremka,WHO imeripoti

Maambukizi ya H1N1 kwenye kizio cha kusini cha dunia yameteremka,WHO imeripoti

Shirika la Afya Duniani (WHO) limeripoti maambukizi makubwa zaidi ya homa ya mafua ya A/H1N1 yanasajiliwa kutukia sasa hivi kwenye kizio cha kaskazini chaa dunia, kwa sababu eneo hili linaingia kwenye majira ya homa ya mafua kwa sasa.