Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Taarifa za sasa za WHO juu ya kupunguza homa ya A/H1N1 kwenye maskuli

Taarifa za sasa za WHO juu ya kupunguza homa ya A/H1N1 kwenye maskuli

Shirika la Afya Duniani (WHO) Ijumaa limetangaza nasaha maalumu kuhusu hatua za kuchukuliwa katika maskuli, ili kupunguza athari za janga la homa ya mafua ya H1N1.