Utaratibu uliofungamana kimataifa wapendekezwa na UM kukabili uharamia katika mwambao wa Usomali
Imehadharishwa na mtaalamu wa UM kwamba mafanikio haba yaliopatikana katika udhibiti wa vitendo vya uharamia nje ya mwambao wa Usomali humaanisha kunahitajika mwelekeo mpya kukabiliana na tatizo hili badala ya kulenga kadhia hizi baharini pekee.