Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mkuu wa UNHCR azuru Algeria/Morocco kusailia hali ya sasa ya wahamiaji Wasaharawi

Mkuu wa UNHCR azuru Algeria/Morocco kusailia hali ya sasa ya wahamiaji Wasaharawi

Antonio Guterres, Kamishna Mkuu wa Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) Ijumatatu amewasili Algiers kuanza ziara ya siku tano katika Algeria na Morocco.