Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Miripuko ya uhasama Sudan Kusini kumtia wasiwasi KM

Miripuko ya uhasama Sudan Kusini kumtia wasiwasi KM

Ofisi ya Msemaji wa KM imetangaza Ban Ki-moon ana wasiwasi mkubwa juu ya taarifa alizopokea kuhusu mfululizo wa mashambulio, yaliofuatiwa na majibu ya mapigo, katika Sudan Kusini ambapo raia kadha wasio hatia waliuawa na baadhi yao walifukuzwa makazi.