Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mafuriko makali kuipamba Afrika Magharibi na kuathiri 600,000 ziada

Mafuriko makali kuipamba Afrika Magharibi na kuathiri 600,000 ziada

Imeripotiwa na Ofisi ya UM juu ya Misaada ya Dharura (OCHA) ya kwamba mafuriko makali ya karibuni Afrika Magharibi yameathiri watu 600,000 hivi sasa na kusababisha vifo 159.