Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Timu ya uchunguzi ya UNAMA yapelekwa Kunduz kufatilia shambulio lilioua darzeni za raia Afghanistan

Timu ya uchunguzi ya UNAMA yapelekwa Kunduz kufatilia shambulio lilioua darzeni za raia Afghanistan

Ijumaa, UM umeitaka Umoja wa Kujihami wa Nchi za Magharibi (NATO) kuendeleza uchugunzi wa haraka kutokana na shambulizi la mabomu yaliotupwa kutoka angani katika wilaya ya Aliabad kwenye Jimbo la Kunduz, Afghanistan ambapo raia 80 waliripotiwa waliuawa.