Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kituo cha kuwasaidia wahamiaji jirani kupata ajira chafunguliwa mpakani Afrika Kusini: IOM

Kituo cha kuwasaidia wahamiaji jirani kupata ajira chafunguliwa mpakani Afrika Kusini: IOM

Shirika la Kimataifa juu ya Wahamaji (IOM) limetangaza kufunguliwa Kituo cha Wahamaji wa Ajira katika Afrika Kusini, kwenye mji wa mipakani wa Beitbridge.