Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

ICC imependekeza Bemba aachiwe kwa muda

ICC imependekeza Bemba aachiwe kwa muda

Mahakama ya UM juu ya Makosa ya Jinai ya Halaiki (ICC) leo imetangaza kumwachia huru, kwa muda, aliyekuwa naibu-raisi wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, Jean-Pierre Bemba Gombo mpaka wakati ambapo kesi yake itaanza kusikilizwa na mahakama.