Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Majaribio ya DPRK kuripua bomu la nyuklia chini ya ardhi yalaumiwa kimataifa

Majaribio ya DPRK kuripua bomu la nyuklia chini ya ardhi yalaumiwa kimataifa

Baraza la Usalama, Ijumatatu jioni, baada ya kumaliza kikao cha faragha, lilipitisha Taarifa ya Raisi kuwakilishwa mbele ya waandishi habari wa kimataifa na Balozi Vitaly Churkin wa Shirikisho la Urusi, aliye raisi wa Baraza kwa mezi Mei.