UNHCR imegundua ni Wangola wachache wanaotaka kurudi nyumbani
Utafiti mpya wa shirika la kuwahudumia wakimbizi la UM UNHCR, na serekali ya Zambia umegundua kwamba ni wakimbizi 251 wa ki-Angola kati ya elfu 10 katika kambi ya wakimbizi ya Mayukwayukwa, wenye haja ya kurudi nyumbani mwaka huu licha ya kampeni inayowahimiza kufikiria kurudi nyumbani.
Mwakilishi wa UNHCR huko Zambia