Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

KM ainasihi Israel kusimamisha mapigano

KM ainasihi Israel kusimamisha mapigano

Kwenye ziara katika mji wa Ramallah, uliopo Eneo la WaFalastina katika Magharibi ya Mto Jordan, KM Ban Ki-moon alinasihi Israel kutoa mwito wa, upande mmoja, wa kusimamisha, halan, mashambulizi yake dhidi ya Tarafa ya Ghaza.~