Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kipindupindu kinaendelea kupamba Zimbabwe licha ya mchango wa kimataifa

Kipindupindu kinaendelea kupamba Zimbabwe licha ya mchango wa kimataifa

Shirika la IOM limeeleza kwamba katika kipindi cha kuanzia tarehe 20 Disemba 2008 hadi 10 Januari 2009 lilifanikiwa kuwafikia watu 160,000 na kuwapatia tembe za kusafisha maji na nasaha kinga dhidi ya maradhi ya kipindupindu katika maeneo ya Zimbabwe ya Harare, Bulawayo na Mutare.