Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wahamaji wa IDPs Sudan wahitajia huduma za dharura za maji

Wahamaji wa IDPs Sudan wahitajia huduma za dharura za maji

Shirika la Kimataifa juu ya Wahamaji (IOM) limechapisha ripoti yenye kuonyesha wahamaji wa ndani ya nchi (IDPs), katika Sudan Kusini na Korodofan ya Kusini sasa hivi hukabiliwa na matatizo makubwa ya maji, pale wanaporejea makwao kutoka kambi za makazi ya muda.