Ujapani yafadhilia UNICEF msaada maalumu kuhudumia watoto wa Ghaza
Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo ya Watoto (UNICEF) limepokea msaada wa dola milioni 3 hii leo kutoka serikali ya Ujapani, uliodhaminiwa kuwasaidia waathirika watoto Ghaza kufuatia mashambulio ya karibuni kwenye eneo hilo.~~~