Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ujapani yafadhilia UNICEF msaada maalumu kuhudumia watoto wa Ghaza

Ujapani yafadhilia UNICEF msaada maalumu kuhudumia watoto wa Ghaza

Shirika la UM juu ya Mfuko wa Maendeleo ya Watoto (UNICEF) limepokea msaada wa dola milioni 3 hii leo kutoka serikali ya Ujapani, uliodhaminiwa kuwasaidia waathirika watoto Ghaza kufuatia mashambulio ya karibuni kwenye eneo hilo.~~~