Takwimu ziada juu ya Zimbabwe na kipindupindu
Takwimu mpya kuhusu mripuko wa ugonjwa wa kipindupindu katika Zimbabwe, zilizosajiliwa na kuthibitishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) mnamo tarehe 25 Disemba zinaonyesha idadi ya wagonjwa wa maradhi hayo siku hiyo ilikuwa 26,497, wakati jumla ya vifo vilirikodiwa ilifikia 1,518.~