15 Oktoba 2008
Tarehe ya leo, Oktoba 15, inaadhimishwa kwa mara ya kwanza ulimwenguni kuwa ni ‘Siku ya Kusuuza Mikono Duniani’. Nchi 70 zinashiriki kwenye taadhima hizi katika mabara matano ya ulimwengu wetu.
Tarehe ya leo, Oktoba 15, inaadhimishwa kwa mara ya kwanza ulimwenguni kuwa ni ‘Siku ya Kusuuza Mikono Duniani’. Nchi 70 zinashiriki kwenye taadhima hizi katika mabara matano ya ulimwengu wetu.