4 Septemba 2008
Baraza Kuu (BK) la UM asubuhi limekutana kujadilia azimio linalohusu mbinu za kupiga vita ugaidi duniani, kikao ambacho kilihudhuriwa na Raisi wa Baraza Kuu, KM na wawakilishi kadha wa kadha wanachama.
Baraza Kuu (BK) la UM asubuhi limekutana kujadilia azimio linalohusu mbinu za kupiga vita ugaidi duniani, kikao ambacho kilihudhuriwa na Raisi wa Baraza Kuu, KM na wawakilishi kadha wa kadha wanachama.