Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

BK linamkumbuka raisi wa Zambia/kusailia azimio la ugaidi duniani

BK linamkumbuka raisi wa Zambia/kusailia azimio la ugaidi duniani

Baraza Kuu (BK) la UM asubuhi limekutana kujadilia azimio linalohusu mbinu za kupiga vita ugaidi duniani, kikao ambacho kilihudhuriwa na Raisi wa Baraza Kuu, KM na wawakilishi kadha wa kadha wanachama.