Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Siku ya Wahamiaji Duniani kuadhimishwa kwa nasaha ya kuhifadhi bora waliong'olewa makwao

Siku ya Wahamiaji Duniani kuadhimishwa kwa nasaha ya kuhifadhi bora waliong'olewa makwao

Tarehe 20 Juni inaadhmishwa kila mwaka kuwa ni Siku ya Wahamiaji Duniani, siku ambayo jumuiya ya kimataifa hukumbushana juu ya masaibu yanayowapata wahamiaji na wakimbizi wa kimataifa, na kushauriana taratibu za kuwahudumia watu waliong\'olewa makwao kihali na mali ili waweze kushiriki tena kwenye maisha ya kawaida. Jennifer Pagonis msemaji wa Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) Geneva aliwapatia waandishi habari wa kimataifa Geneva sababu zilizoihamasisha jamii ya kimataifa kuidhamisha siku hiyo.~~Sikiliza habari kamili kwenye idhaa ya mtandao.