Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Siku ya Wahamiaji Duniani Inaadhimishwa Kimataifa

Siku ya Wahamiaji Duniani Inaadhimishwa Kimataifa

Tarehe 20 huadhimishwa kila mwaka kimataifa, kuwa ni Siku ya Wahamiaji Duniani – siku ambayo umma wa kimataifa huheshimu na kukumbushana juu ya jukumu liliodhaminiwa Mataifa Wanachama na Mkataba wa UM kuhudumia kihali na mali umma wenziwao uliong\'olewa kwa nguvu makwao kwa sababu wasioweza kuzidhibiti. Kadhalika mnamo siku hiyo walimwenngu huheshimu mchango wa wafanyakazi wa mashirika ya kimataifa wanaoshughulikia ugawaji wa misaada ya kiutu kwa wahamiaji hawo.

Sikiliza ripoti kamili kwenye redio ya mtandao.