Askofu Mkuu wa Afrika Kusini aomba vikwazo Ghaza vikomeshwe
Askofu Mkuu wa Afrika Kusini Desmond Tutu ameiambia Redio ya UM ya Geneva kwamba alishtushwa sana kwa aliyoyaona kuhusu maisha duni ya umma wa Wafalastina waliopo eneo liliokaliwa kimabavu la Tarafa ya Ghaza, ambalo analizuru hivi sasa.
Sikiliza taarifa kamili kwenye idhaa ya mtandao.