Fafanuzi za Mjumbe wa Vatikana kuhusu ziara ya Papa Benedict XVI katika UM
Kiongozi wa Wakristo wa madhehebu ya Kikatoliki, Papa Benedict XVI anatarajiwa kuzuru Makao Makuu ya UM, Ijumaa ijayo, tarehe 18 Aprili.
Sikiliza ripoti kamili kwenye mtandao.