6 Machi 2008
Antonio Guterres, Mkuu wa Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) Ijumanne alizuru Uganda kaskazini ambapo aliahidi kusaidia, haraka iwezekanavyo, mamia elfu ya wahamiaji wa ndani ya nchi kurejea makwao.
Antonio Guterres, Mkuu wa Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) Ijumanne alizuru Uganda kaskazini ambapo aliahidi kusaidia, haraka iwezekanavyo, mamia elfu ya wahamiaji wa ndani ya nchi kurejea makwao.