Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM kuanzisha operesheni za kufyeka mabomu yaliotegwa katika JKK

UM kuanzisha operesheni za kufyeka mabomu yaliotegwa katika JKK

Shirika la MONUC linalohusikana ulinzi wa amani katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (JKK) limeripoti kwamba mnamo tarehe 28 Februari UM ulianzisha operesheni maalumu za kufyeka mabomu yaliotegwa ardhini katika jimbo la Katanga.