Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Siku ya Kupiga Vita Maradhi ya Kifua Kikuu/TB Duniani

Siku ya Kupiga Vita Maradhi ya Kifua Kikuu/TB Duniani

Tarehe ya leo ya Machi 24 huheshimiwa na Umoja wa Mataifa kuwa ni Siku ya Kupiga Vita Maradhi ya Kifua Kikuu/TB Duniani. Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) thuluthi moja ya idadi ya watu ulimwenguni hivi sasa wameambukizwa na maradhi ya TB.